mo dadyTV

KARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

kARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

LightBlog
KARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

Karibu kutangaza nasi mawasiliano 0652231836

Jumatatu, 27 Machi 2017

Nay wa Mitego afikishwa Central Polisi DSM, Wakili Peter Kibatala kayaandika haya

Baada ya jeshi la Polisi mkoan Morogoro kuthibitisha kukamatwa kwa msanii wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego sasa basi taarifa  iliyonifikia ni kwamba tayari msanii huyo ameshafikishwa Kituo cha Polisi Kati Dar es Salaam jioni hii.
Sasa miongoni mwa mawakili walioguswa na kukamatwa kwa msanii huyo ni wakili Peter Kibatala ambae kupitia ukurasa wake wa instagram aliyaandika haya….>>>Nay wa Mitego amefikishwa Central Police Station, Dar es Salaam yuko salama na imara amekula pia. Kwa kuwa amefika jioni sana; hakuna kinachoweza kufanyika leo Wakili Faraji Mangula alifika pale, na kesho tutapigana afikishwe Mahakamani au apewe dhamana‘- Peter Kibatala

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni