mo dadyTV

KARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

kARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

LightBlog
KARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

Karibu kutangaza nasi mawasiliano 0652231836

Ijumaa, 3 Machi 2017

BREAKING NEWS: Mbunge Godbless Lema ameachiwa kwa dhamana


Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo March 3, 2017 imemuachia kwa dhamana Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema, Mahakama hiyo ilimtaka mbunge huyo kuwa na wadhamini wawili na Tsh. Mil 3 lakini ikafanya marekebisho kwa kumtaka Lema kusaini bondi ya shilingi milioni 1 ambapo alikidhi vigezo na kuachiwa huru.😍😍😍

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni