mo dadyTV

KARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

kARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

LightBlog
KARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

Karibu kutangaza nasi mawasiliano 0652231836

Jumapili, 5 Machi 2017

kupambana vita ya madawa ya kulevya yaitaji moyo asema magesa


Katika kupambana na vita ya madawa ya kulevya inahitaji moyo wa kujitoa muhanga na hii vita siyo ya kupigana nayo mtu mmoja ( Individual attack) Kwani suala la madawa ya kulevya ni biashara ya kidunia (global trade). Kuna nchi kubwa Kama Mexico, Marekani, China nk zimejaribu kupambana na Biashara hii haramu inayoangamiza vijana wengi nchini mwao still wameshindwa, tena hapo wametumia mifumo imara ya kidola na sheria kali za kuwanyonga wote wanaobainika kuwa na madawa ya kulevya. 
Binafsi navyoona Makonda angefanikiwa hii vita endapo tu angetumia njia sahihi kupigana vita hii. Toka awali alipoanza kutangaza majina nilionao tayari anavyoharibu strategy nzima ya kupambana na vita ya aina hii Kwani njia aliyoitumia (approach) ilikuwa siyo nzuri kuweza kuwakamata wahusika Wakuu wa madawa tofauti na kuwabaini tu wale wauzani. Narudia tena NI VIGUMU MNO Mh KUFANIKISHA VITA HII KWA APPROACH ALIYOITUMIA YA KUTAJA HADHARANI MAJINA YA WAHUSIKA Kwani kisheria sijuhi Kama inakubalika (watatusaidia wataalam wa sheria). Na hili afanikiwe basi anahitaji kuungwa mkono na Vyombo vya dola vyote pamoja na wananchi wanaochukia madawa ya kulevya (pamoja na mimi). Ila pia namshukuru kwa kuwa na moyo wa ujasiri kwa kuweza kujaribu hata kuingia ulingo wa kupigana hii vita Kwani siyo rahisi kutokana na kwamba hii biashara inafanywa na watu wenye uwezo kifedha (Capitalists) nchini na duniani kote.

Binafsi navyoona Makonda angefanikiwa hii vita endapo tu angetumia njia sahihi kupigana vita hii. Toka awali alipoanza kutangaza majina nilionao tayari anavyoharibu strategy nzima ya kupambana na vita ya aina hii Kwani njia aliyoitumia (approach) ilikuwa siyo nzuri kuweza kuwakamata wahusika Wakuu wa madawa tofauti na kuwabaini tu wale wauzaji wadogo na watumiaji Kama akina Chidz . Narudia tena NI VIGUMU MNO Mh KUFANIKISHA VITA HII KWA APPROACH ALIYOITUMIA YA KUTAJA HADHARANI MAJINA YA WAHUSIKA Kwani kisheria sijuhi Kama inakubalika (watatusaidia wataalam wa sheria). Na hili afanikiwe basi anahitaji kuungwa mkono na Vyombo vya dola vyote pamoja na wananchi wanaochukia madawa ya kulevya (pamoja na mimi). Ila pia namshukuru kwa kuwa na moyo wa ujasiri kwa kuweza kujaribu hata kuingia ulingo wa kupigana hii vita. Siyo kazi rahisi kazi nyepesi vile kutokana na kwamba hii biashara inafanywa na watu wenye uwezo kifedha (Capitalists) nchini na duniani kote. Zaidi tumwombee tu aweze kuendelea kupigana vita hii huku akitumia njia sahihi kwa kushirikiana na mamlaka husika ikiwamo tume/idara ya kupambana na madawa ya kulevya iliyoteuliwa na Mh Rais Magufuli.

Haya ndio yaliyosemwa na kamanda magesa trump

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni