mo dadyTV

KARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

kARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

LightBlog
KARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

Karibu kutangaza nasi mawasiliano 0652231836

Jumamosi, 25 Machi 2017

Mshauri wa Trump alitaka Fethullah Gulen kuondolewa Marekani

Aliyekuwa mshauri wa maswala ya kiusalama wa rais wa Marekani Donald Trump ,Michael Flynn alizungumza kuhusu kumuondoa kiongozi wa dini aliye mafichoni Marekani anayesakwa na Uturuki kulingana na aliyekuwa mkurugenzi wa idara ya ujajusi James Woolsey.

Uturuki inamshtumu kiongozi huyo wa dini Fethullah Gulen kwa kuandaa mapenduzi ya mwaka uliopita nchini Uturuki.
Katika mahojiano yalirekodiwa katika kanda ya video Bwana Woolsey aliambia jarida la Street Jaournal alikuwa katika mazungumzo kuhusu njia za kumuondoa kiongozi mbali na hatua halali za kisheria.
Hatahivyo Bwana Flynn amekana madai hayo ya Whoolsey.

Mkutano huo ulifanyika mnamo mwezi Septemba katika hoteli moja mjini New York.
Wale waliohudhuria mazungumzo hayo ni pamoja Flynn wakati huo akiwa mshauri wa bwana kampeni ya bwana Trump kuhusu maswala ya kiusalama, mwana wa kambo wa rais wa Uturuki Tayyip Erdogan pamoja na waziri wa maswala ya kigeni nchini Uturuki Mevlut Cavusoglu kulingana na jarida la Wall Street Journal.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni