mo dadyTV

KARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

kARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

LightBlog
KARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

Karibu kutangaza nasi mawasiliano 0652231836

Ijumaa, 28 Oktoba 2016

Zuma alala fofo


Wananchi wa Afrika Kusini wameweka video na picha katika mitandao ya kijamii, ikimuonesha Rais wa nchi hiyo Jacob Zuma, alilala katikati ya Hotuba ya saa moja na dakika 14 iliyokuwa ikisomwa na waziri wa fedha Pravin Gordhan, kamera zilimnasa Rais Jacob Zuma akiwa amelala,usingizi mzito.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni