mo dadyTV

KARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

kARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

LightBlog
KARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

Karibu kutangaza nasi mawasiliano 0652231836

Jumatatu, 24 Oktoba 2016

Sababu ya Justin Bieber kutupa Mic na kushuka kwenye stage

Najua kuna watu wangu ni mashabiki wa staa wa muziki wa RnB na Pop mwenye asili ya Canada, Justin Bieber amezikamata headlines baada ya kutupa mic chini akiwa anaperfom kwenye stage za show ya Manchester usiku wa Oct 23 2016 na kuondoka jukwaani hapo.

Imetajwa na kituo kikubwa cha habari cha Enews cha Marekani kuwa mashabiki kwenye show hiyo walikuwa wakipiga kelele za shangwe kupita kiasi na kumkera staa huyo ambapo alidai kuwa anataka aongee nao badala yake zinasikika kelele ndipo akamua kuchukua uwamuzi huo.

Enews waliongezea kuwa Justin alishawaonya mara ya kwanza mashabiki wasipige kelele wakati anaongea nao lakini hawakusikia na haya ndiyo yalikuwa maneno ya Justin…..

>>>’Nashukuru sana kwa upendo wenu mnao uonyesha kwangu, hizi kelele tafadhali naomba ziachwe ninashukuru tena lakini sidhani kama ni lazima kwenu kushangilia wakati naongea kwasababu najisikia kama nataka kuunganishwa na ninyi’  –Justin Bieber 

Nimekuwekea hapa chini video mtu wangu jinsi Justin alivyotupa Mic nakuondoka kwenye stage hiyo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni