mo dadyTV

KARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

kARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

LightBlog
KARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

Karibu kutangaza nasi mawasiliano 0652231836

Jumatatu, 24 Oktoba 2016

Drake atangaza kuachia album hii December 2016

Nafahamu kuna watu wangu ni wapenzi wa kufuatilia updates za wasanii wa nje ya nchi nikizungumzia mastaa kama Rihanna, Kanye West, Justin Bieber, Beyonce na wengineo wengi, pia katika list rappers bora wa Marekani uwezi kuacha kumtaja Drake ambae ameingia kwenye headline na album yake ya awali ya ‘Views’.

Good news kwa mashabiki wa Rapper Drake wakae mkao wa kula baada ya Rapper huyu kutangaza kuachia album nyingine tena  ifikapo December 2016 itakayobeba jina la ‘More life’  na tayari ameshaachia nyimbo 4 katika hii album leo  Oct 24 2016.

Staa huyu aliongea maneno haya akiwa anahost show ya Radio ya Apple Beats 1, OVO Sound, na haya ndio maneno aliyoyaongea..
‘Nataka niwape mkusanyiko wa nyimbo ambazo mtazisikiliza kwenye maisha yenu yote,kwahiyo hii playlist ya More life kama nilivyosema kwamba itatoka December’ Drake

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni