mo dadyTV

KARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

kARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

LightBlog
KARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

Karibu kutangaza nasi mawasiliano 0652231836

Ijumaa, 19 Mei 2017

Hii sasa kufuru msichana afunga ndoa na mbwa

Msichana mwenye umri wa miaka 18, ‘Mangli Munda’ alazimishwa na wazazi wake kufunga ndoa na Mbwa huko nchini India, kufanya hivyo ilikuwa ni imani kufukuza roho za kishetani na mikosi inayomsonga na Mbwa huyo alitafutwa na Baba mzazi wa mrembo huyo na kufanya sherehe kubwa na kufanya vitendo vyote vinavyofanywa na bibi harusi kwa taratibu za ndoa, kwa mujibu wa Yahoo News, msichana huyo hakuwa na furaha kabisa na alieleza wazi jinsi alivyochukizwa na kitendo hicho,“Sifurahii kabisa hii ndoa coz tulilazimika kutumia pesa nyingi kwa ajili ya ya hii ndoa.
Hiyo ndiyo njia pekee tunayofanya kuondoa mikosi kwa kufanya tendo jema kwa ajili ya kijiji chetu.” Amekaririwa mama yake Munda.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni