mo dadyTV

KARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

kARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

LightBlog
KARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

Karibu kutangaza nasi mawasiliano 0652231836

Jumamosi, 10 Juni 2017

Semina ya viongozi wa uvccm wilaya ya ilala

Leo ktk ukumbi wa chek point pale kigogo fresh kulikuwa na kikao cha semina elekezi kwa viongozi wa Uvccm .Dhumuni la semina hiyo elekezi ni kutoa maelekezo kwa viongozi wapya waliochaguliwa nini chama chao kinaitaji pia kujua mipaka ya uongozi wao bila kusahau kujua maadili ya chama chao..

Mgeni rasmi katibu mkoa wa Dar es salaam
Said Yassin
Watoa mada
Mashaka Nyadhi

Frank Mang'ati 
Mwenyekiti Uvccm wilaya ya ilala
alfrd Tukiko

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni