mo dadyTV

KARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

kARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

LightBlog
KARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

Karibu kutangaza nasi mawasiliano 0652231836

Alhamisi, 8 Juni 2017

TAMBUA SABABU ZA KUTEKWA KWA DR ULIMBOKA NA ALIE MTEKA

Dr Ulimboka alikuwa mwenyeki wa taasisi ya Madaktari nchini Tanzania, Dr ulimboka alitisha mgomo wa madaktali nchi nzima usio na kikomo tar 24 jun 2012 kwa madai ya Serikali imekataa madai yao yote walio wasilisha katika kamati ya majadiliano iliyoundwa na waziri mkuu mstaafu Mizengo pinda.....
Wakati mgomo ukiendelea tar 27 ucku zilipatikana taarifa za kutekwa kwa Dr ulimboka na hakuna mtu alie jua alitekwa na nani na yupo wapi baada ya cku kazaa Dr ulimboka alipatikana katika msituni akiwa amelowa damu kutokana na kipigo kikali
  


Dr ulimboka

inasemekana Dr ulimboka alipata mateso makali kutoka kwa watekahi hao .

MJUE ALIE MTEKA DR ULIMBOKA
Baada ya siku kazaa kupita gazeti la mwanahalisi lilitoa taarifa za alie mteka Dr ulimboka nazo ni hizi hapa chini

Kutoka Mwanahalisi:
Waliomteka dr. Ulimboka hawa hapa
Anaitwa RAMADHANI IGHONDU, a.k.a RAMA ni afisa Usalama wa Taifa(TISS) anayefanyia kazi zake ikulu katika idara ya siasa chini ya Zoka, MwanaHALISI linaeleza. Kachero huyo (RAMA) ndiye aliekuwa akijitambulisha kama ABEID wa ikulu na alikutana na ulimboka tangu mgogoro wa kwanza wamadaktari. Rekodi katika simu ya Ulimboka 0713731610, inaonyesha Rama ndiye alikuwa mtu wa mwisho kufanya naye mawasiliano Saa 5;52 kwa kupitia simu yake (RAMA) 0713760473, muda mchache kabla ya kutekwa kwa ulimboka.
Kabla ya ULIMBOKA kutekwa, RAMA alifanya naye mazungumzo saa12:25 jioni, saa 3:29 usiku, saa 4:52, saa 5:27, saa 5:40 na mwiso ilikuwa saa 5:52 usiku na mwenye namba hiyo ndiye aliyeandaa kukutana na ULimboka usiku naye (ULIMBOKA) amethibitisha bila shaka yeyote kuitambua namba hiyo ya ABEID.
Kabla ya namba hiyo kufanya mawasiliano na Ulimboka saa 12:25 ilifanya mawasiliano na BURUANI NTILONGWA (0712359533) pia kati ya saa 2:08 na 2:24 usiku. Aitha mwandishi (KUBENEA) anasema ripoti yake inaonyesha kila muda ambao RAMA alikuwa akifanya mazungumzo na Ulimboka pia alifanya mawasiliano na MOSHI MARUNGU SHABANI (0761132663 & 0655162663), ABDALLAH KUNJA na NTILONGWA. Siku mbili kabla ya kutekwa ulimboka simu ya RAMA iliingiziwa (airtime) salio la tshs 252,849/- ambalo ni salio kubwa kuingizwa tangu mwanzo mwa mwaka huu ukizingatia tarehe 04 Mei mwaka huu simu ya Rama ilikuwa na Tshs.01. Wengine waliokuwa na mawasiliano ya mara kwa mara na RAMA kabla ya kutekwa Ulimboka ni; Mohamed Hassan 0655524444, Shomari Kondo 0714666304. Optat Jacob Marandu 0716611625 na Mbega Hisbert 0715222778.
Taarifa nyingine kutoka ndani ya Tiss zinasema agent RAMA, tangu tarehe 26 Juni 2012 baada ya kufanikiwa kwa jaribio la kumteka Ulimboka, RAMA aliacha kutumia simu yake hiyo. Na tarehe 01 july amekuwa akituma sms kwa namba nne tofauti kwa zaidi.
Wakati wakimtesa Ulimboka ni RAMA aliyekuwa akisisitiza kuelezwa ni nani hasa katika CHADEMA aliyemtumia. Wazo lililopo Usalama wa Taifa ni kuwa Ulimboka anatumiwa na Mnyika pamoja na Dr. Slaa. Chini ya Zoka, wanatakiwa kuangamizwa hasa wale wanao ikosoa sana serikali.
Nukuu kutoka mwanahalisi.

Kutoka Mwanahalisi:
Waliomteka dr. Ulimboka hawa hapa

Anaitwa RAMADHANI IGHONDU, a.k.a RAMA ni afisa Usalama wa Taifa(TISS) anayefanyia kazi zake ikulu katika idara ya siasa chini ya Zoka, MwanaHALISI linaeleza. Kachero huyo (RAMA) ndiye aliekuwa akijitambulisha kama ABEID wa ikulu na alikutana na ulimboka tangu mgogoro wa kwanza wamadaktari. Rekodi katika simu ya Ulimboka 0713731610, inaonyesha Rama ndiye alikuwa mtu wa mwisho kufanya naye mawasiliano Saa 5;52 kwa kupitia simu yake (RAMA) 0713760473, muda mchache kabla ya kutekwa kwa ulimboka.

Kabla ya ULIMBOKA kutekwa, RAMA alifanya naye mazungumzo saa12:25 jioni, saa 3:29 usiku, saa 4:52, saa 5:27, saa 5:40 na mwiso ilikuwa saa 5:52 usiku na mwenye namba hiyo ndiye aliyeandaa kukutana na ULimboka usiku naye (ULIMBOKA) amethibitisha bila shaka yeyote kuitambua namba hiyo ya ABEID.

Kabla ya namba hiyo kufanya mawasiliano na Ulimboka saa 12:25 ilifanya mawasiliano na BURUANI NTILONGWA (0712359533) pia kati ya saa 2:08 na 2:24 usiku. Aitha mwandishi (KUBENEA) anasema ripoti yake inaonyesha kila muda ambao RAMA alikuwa akifanya mazungumzo na Ulimboka pia alifanya mawasiliano na MOSHI MARUNGU SHABANI (0761132663 & 0655162663), ABDALLAH KUNJA na NTILONGWA. Siku mbili kabla ya kutekwa ulimboka simu ya RAMA iliingiziwa (airtime) salio la tshs 252,849/- ambalo ni salio kubwa kuingizwa tangu mwanzo mwa mwaka huu ukizingatia tarehe 04 Mei mwaka huu simu ya Rama ilikuwa na Tshs.01. Wengine waliokuwa na mawasiliano ya mara kwa mara na RAMA kabla ya kutekwa Ulimboka ni; Mohamed Hassan 0655524444, Shomari Kondo 0714666304. Optat Jacob Marandu 0716611625 na Mbega Hisbert 0715222778.

Taarifa nyingine kutoka ndani ya Tiss zinasema agent RAMA, tangu tarehe 26 Juni 2012 baada ya kufanikiwa kwa jaribio la kumteka Ulimboka, RAMA aliacha kutumia simu yake hiyo. Na tarehe 01 july amekuwa akituma sms kwa namba nne tofauti kwa zaidi.
Wakati wakimtesa Ulimboka ni RAMA aliyekuwa akisisitiza kuelezwa ni nani hasa katika CHADEMA aliyemtumia. Wazo lililopo Usalama wa Taifa ni kuwa Ulimboka anatumiwa na Mnyika pamoja na Dr. Slaa. Chini ya Zoka, wanatakiwa kuangamizwa hasa wale wanao ikosoa sana serikali.

Nukuu kutoka mwanahalisi.
ushuhuda wa Dr Ulimboka
Rais Jakaya Kikwete azungumzia

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni