mo dadyTV

KARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

kARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

LightBlog
KARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

Karibu kutangaza nasi mawasiliano 0652231836

Alhamisi, 27 Aprili 2017

Historia fupi ya Mkali wa the jump off Michano Mika mbwai

Jina la music anaitwa Mika bwai ila jina lake halisia toka kwa wazazi wake ni Michael Shamba Alianza music akiwa mdogo sana pale kiwalani safari yake ya kimusic ilikuwa ndefu sana.. Alipata nafasi ya kushiliki katika shindano la the jump off michano iliokuwa ikilatibiwa na Times Fm Tz mtangazaji alikuwa Jabil Sarehe a.k.a kuvichaka au kibonge toze shindano hilo lilikwa na washiliki 300 ila kutokana na juhudi binafsi za mika bwai alifanikiwa kufika top 10 ana kuweza kuendelea mbele
mika bwai

Leo msanii huyu anashilik katika shindano la nani mkali wa flow toka ktk blog yetu hii ya Mo dadyTv je ataweza kutusua kama alivyo tusua Times FmTz...

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni