mo dadyTV

KARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

kARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

LightBlog
KARIBU KUTANGAZA NASI 0652231836

Karibu kutangaza nasi mawasiliano 0652231836

Jumatatu, 10 Julai 2017

HABARI MPYA KABISA HII MUDA HUU:

Waziri wa zamani wa Nishati na Madini na Mbunge wa Sengerema CCM, William Ngeleja ametangaza kurejesha pesa za ESCROW, kiasi cha Tsh. mil. 40.4 alizopokea kutoka kwa James Rugemalira anayetuhumiwa katika sakata la ESCROW tarehe 12 Februari 2014. Ngeleja amewaambia wanahabari leo kuwa,tayari amerudisha TRA TSh 40.4milioni alizokuwa amepewa na mfanyabiashara James Rugemalila.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni